forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.0 KiB
Markdown
40 lines
1.0 KiB
Markdown
# Haiwezi kupatikana kwa dhahabu
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa hekima ina anathamani zaidi kuliko dhahabu. KTN: "Watu hawawezi kulipa dhahabu kwa ajili ya kupata hekima"
|
|
|
|
# wala fedha haiweza kupimwa kwa thamani yake
|
|
|
|
Hii ina maana kwamba hekima inathamani sana kuliko fedha. KTN: "na watu hawawezi kupima fedha za kutosha ili kulipa kwa ajili ya hekima"
|
|
|
|
# Haiwezia kuthaminishwa kwa ... johari
|
|
|
|
hii inamana kuwa hekima inathamani zaidi ya dhahabu ya ofiri, inathamani kuliko oni na johari.
|
|
|
|
# ofiri
|
|
|
|
Hili ni jina la eneo ambako kulikuwa na dhahabu safi.
|
|
|
|
# oni
|
|
|
|
jiwe jeusi lenye thamani
|
|
|
|
# johari
|
|
|
|
jiwe la bluu lenye thamani sana.
|
|
|
|
# Dhahabu na fuwele haziwezi kulingana nayo kwa thamani
|
|
|
|
Hapa inamaana kuwa hekima inathamani zaidi kuliko dhahabu na fuwele.
|
|
|
|
# fuwele
|
|
|
|
jiwe la thamani lililo safi au angavu kwa rangi yake.
|
|
|
|
# wala haiwezi kubadilishwa kwa kito cha dhahabu safi
|
|
|
|
na haiwezi kubadilishwa kwa kito cha dhahabu safi." Hii inamaana kuwa hekima ina thamani zaidi kuliko kito cha dhahbu safini.
|
|
|
|
# kubadilishwa
|
|
|
|
"kuuzwa"
|