sw_tn/job/26/13.md

1.1 KiB

Kwa pumzi yake alisafisha anga

"pumzi" au "puliza" ni sura ya kuwakilisha kitendao cha Mungu kusababisha upepo yayasukume mawingu. KTN: " Kwa pumzi, Mungu alisafisha anga" au "Mungu aliyapuliza mawingi hata anga likawa safi"

mkono wake ulimemchoma nyoka mwenye kukimbia.

"mkono wake" unawakilisha upanga wa Mungu na 'kumchoma' linawakilisha mauaji. KTN: "Kwa upanga wake alimchoma nyoka mwenye kukimbia"

nyoka mwenye kukimbia.

" nyoka huyu alikuwa anajaribu kumtoroka" zingatia 26:11

Tazama, walakini hivi ni viunga vya njia zake

Hapa "viunga" vinawakilisha sehemu ndogo ya kitu kikubwa inayoweza kuonekana.KTN: "Tazama vitu hivi ambavyo Mungu amavifanya vinaonyesha sehemu ndogo sana ya uwezo wake mkuu"

ni mnong'ono mdogo kiasi gani tunasikia kutoka kwake

KTN: " Tunasikia tu mnong'ono wake wa utulivu"

ni nani anawezakufahamu ngurumo ya nguvu zake?

"ngurumo ya nguvu zake" inawakilisha ukuu wote wa yale anayoyafanya Mungu. Ayubu anaelezea kuwa nguvu za Mungu ni kuu sana kiasi kwamba hakuna mtu mwenye kuzifahamu. KTN: "hakuna mwenye kufahanu ukuu wa nguvu zake"