sw_tn/job/26/09.md

8 lines
230 B
Markdown

# na hutandaza mawingu yake juu yake
maneno haya yanasema jinsi huifunika sura ya mwezi. KTN: " kwa kutandaza mawingu yake mbele yake"
# amechonga mpaka wa duara
Anasema kana kwmba Mungu aliweka alama ya mpaka juu ya bahari.