forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
429 B
Markdown
12 lines
429 B
Markdown
# hulinyosha anga la kaskazini juu ya nafasi wazi
|
|
|
|
anga la kaskazini linawakilisha mbingu, sehemu ambapo Mungu huishi pamoja na viumbe alivyoviumba huko.
|
|
|
|
# huyafunga maji kwenye mawingu yake mazito
|
|
|
|
mawingu yanazungumziwa kana kwamba ni bulanketi kubwa ambapo Mungu huyafunga maji ya mvua. KTN: "Huyafunga maji katika mawingu yake mazito"
|
|
|
|
# walakini mawingu hayapasuki chini yake
|
|
|
|
KTN: "Lakini uzito wa maji haupasui mawingu"
|