sw_tn/job/26/07.md

429 B

hulinyosha anga la kaskazini juu ya nafasi wazi

anga la kaskazini linawakilisha mbingu, sehemu ambapo Mungu huishi pamoja na viumbe alivyoviumba huko.

huyafunga maji kwenye mawingu yake mazito

mawingu yanazungumziwa kana kwamba ni bulanketi kubwa ambapo Mungu huyafunga maji ya mvua. KTN: "Huyafunga maji katika mawingu yake mazito"

walakini mawingu hayapasuki chini yake

KTN: "Lakini uzito wa maji haupasui mawingu"