forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
516 B
Markdown
16 lines
516 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
|
|
|
# huasi dhidi ya mwanga
|
|
|
|
maana ya mwanga
|
|
|
|
# hawazijui njia zake, wala hawakai katika mapito yake
|
|
|
|
hii mistari miwili inaeleza kitu kile kile, na inatumika kwa pamoja kusisitiza kwamba hawataki kufuata njia ya mwanga. KTN: "hawajui jinsi ya kuishi maisha yenye maadili; hawataki kuisha maisha ya haki"
|
|
|
|
# masikini na watu wahitajia
|
|
|
|
maneno "masikini" na "wahitaji" yanarejea kundi moja la watu na kusisitiza kuwa watu hawa ni watu ambao hawawezi kijisaidia wenyewe.
|