forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
769 B
Markdown
20 lines
769 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
|
|
|
# Watu hawa msikini huenda kwenye kazi zao mithili ya punda mwitu kwenye nyika, wakitafuta chakula kwa bidii
|
|
|
|
watu hawa ambao ni masikini wanaongelewa kana kwamba ni punda mwitu wasiojua ni wapi watapata chakula. KTN: "watu hawa masikini huenenda wakitafuta chakula kama vile punda mwitu kwenye nyika"
|
|
|
|
# punda mwitu
|
|
|
|
"punda wasiomilikiwa na mtu au kuangaliwa"
|
|
|
|
# watu masikini huvuana usiku ... wanakimulika zabibu.
|
|
|
|
hii mistari miwili inaeleza jambo moja na yote inasisitiza kwamba watu hawa wananjaa sana hivyo wanalazimika kuiba chadkula wakati wa usiku.
|
|
|
|
# Hulala uchi ...hawana cha kujifunika
|
|
|
|
hii mistari miwili inaeleza jambo moja na yote inasisitiza kwamba watu hawa hawana mavazi ya kutosheleza kujisitili.
|