sw_tn/job/24/05.md

769 B

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

Watu hawa msikini huenda kwenye kazi zao mithili ya punda mwitu kwenye nyika, wakitafuta chakula kwa bidii

watu hawa ambao ni masikini wanaongelewa kana kwamba ni punda mwitu wasiojua ni wapi watapata chakula. KTN: "watu hawa masikini huenenda wakitafuta chakula kama vile punda mwitu kwenye nyika"

punda mwitu

"punda wasiomilikiwa na mtu au kuangaliwa"

watu masikini huvuana usiku ... wanakimulika zabibu.

hii mistari miwili inaeleza jambo moja na yote inasisitiza kwamba watu hawa wananjaa sana hivyo wanalazimika kuiba chadkula wakati wa usiku.

Hulala uchi ...hawana cha kujifunika

hii mistari miwili inaeleza jambo moja na yote inasisitiza kwamba watu hawa hawana mavazi ya kutosheleza kujisitili.