sw_tn/job/24/01.md

665 B

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

kwa nini nyakati za kuwahukumu watu waovu hazijapangawa na Mwenyezi?

Ayubu anatumia swali hili kuelezea fadhaa zake kuwa Mungu hajawahukumu waovu. KTN: " Sielewi kwa nini Mungu hajapanga muda ambapo atawahukumu watu waovu." au "Mwenyezi angapnga muda ambapo angewahukumu watu waovu"

Kwa nini wale ambao ni waaminifu kwa Mungu huona siku zake za hukumu zikija?

Ayubu anatumia swali hili kuelezea fadhaa zake kuwa wenye haki hawajamwona Mungu akihukumu uovu. KTN: "Inaonekana kuwa wale ambao humtii Mungu hawamwoni akiwahukumu waovu" au "Mungu angeonyesha siku ambapo atawahukumu waovu kwa wale wenye kumjua"