sw_tn/job/22/04.md

442 B

Sentensi Unganishi

Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu.

Je anakukemea na kukuhukumu kwa sababu ya kumcha yeye? Je uovu wako siyo mkuu? Je hapana mwisho wa maovu yako?

Elifazi anatumia maswali kumkaripia na kumlaumu Ayubu kwa kutenda dhambi za kutisha. KTN: "Ni kuwa kuwa hujajitoa kwake kikamilifu ndiyo maana Mungu anakukea na kukuhukumu! Hapana, kama ujuavyo, anakuhukunu kwa sababu uovu wako ni mkuu na unaendelea kutenda dhambi"