sw_tn/job/22/01.md

669 B

Elifazi Mtemani

Jina la mtu, angalia 2:11

Je mtu anaweza kumfaa Mungu? Je mtu mwenye busara anaweza kumfaa Yeye?

Elifazi anatumia maswali kuweka mkazo kuwa matendo ya mtu au hekima havina faida kwa Mungu. KTN: "Mtu hawezi kumfaa Mungu. Mtu mwenye busara hawezi kuwa na faida kwake faida kwa kwake"

Je kuna furaha yoyote kwa mwenyezi kama wewe ni mwenye haki? Je ni faida kwake kama utazifanya njia zako kuwa timilifu?

Sentensi zote zina maana moja. Elifazi anatumia maswali kukazia kuwa matendo yake Ayubu hayana msaada kwa Mungu.KTN: "Mwenyezi hapokei furaha yoyote kama wewe ni mwenye haki. Hafaidiki na chochote kama utazifanya njia zako kuwa timilifu"