forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
595 B
Markdown
24 lines
595 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.
|
|
|
|
# mtu mwingine hufa
|
|
|
|
Ayubu anamlinganisha mtu huyu na mtu ambaye hufa katika amani 21:22
|
|
|
|
# katika uchungu wa roho
|
|
|
|
"Roho" inamaanisha mwanadamu kamili. KTN: 'kwa uchungu na majuto" au " baada ya kuishi maisha ya huzuni"
|
|
|
|
# pasipo kuonja mema yoyote
|
|
|
|
KTN:"akiwa ameonja vitu vibaya tu"
|
|
|
|
# Hao vilevile hulala chini katika mavumbi
|
|
|
|
Hii ni kusema kwa staha kuwa hao hufa. KTN: " Hao wote hufa na watu huwazika"
|
|
|
|
# Minyoo huwafunika wote
|
|
|
|
minyoo huhusiana na kuoza kwa mizoga. KTN "katika uchafu minyoo hula mizoga ya miili yao"
|