sw_tn/job/19/28.md

1.1 KiB

habari za Jumla:

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.

Kwa jinsi gani tutamtesa yeye?

Huu ni mshangao! Kumaanisha kuwaa wao kwa hakika watamtesa Ayubu au watamtesa yeye vikali sana.

Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;

"Mzizi" unawakilisha chanzo. "Yeye ni chanzo cha mahangaiko yake" au " Yeye amekuwa na matatizo haya yote kwa sababu ya kile ambacho yeye amekitenda"

ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga,

Sentensi hii ina maanisha hivi: Mungu anawahukumu wao, au Mungu anawaua wao. "kisha uwe na hofu kwamba Mungu anawaua", au "kisha uogope kwamba Mungu atakuua wewe"

kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga,

Katika sentensi hii maneno "huleta" ni tashbiha kwa neno "matokeo" au "chanzo" Majina dhahania "ghadhabu" na "hukumu" yaweza kuelezwa na kivumishi "kasirika" na kitenzi "adhibu." Maana zaweza kuwa hizi: Hasira ya Mungu inaleta hukumu. "kwa sababu Mungu atakukasirikia wewe na kukuadhibu wewe" au " hasira ya rafiki za Ayubu inaleta hukumu. "kama mna hasira sana na mimi, Mungu atawaadhibu ninyi"

kuna hukumu."

Jina dhahania "hukumu" laweza kuelezwa na kitenzi "hukumu""Mungu huwahukumu watu"