sw_tn/job/19/07.md

1.3 KiB

Habari za Jumla:

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake watatu.

Tazama,

Neno hili "Tazama" linatia mkazo unaofuata."Haswa"

dhuluma!"

Hiki ni kilo cha ajili ya msaada. "dhuluma! Msaada! Mimi nimekuwa nikishambuliwa!"

Mimi ninaita kwa ajili ya msaada,

Mimi ninapiga kelele kwa ajili ya msaada" "Ninalia kwa ajili ya msaad"a

lakini hakuna haki.

Jina dhahania "haki"linaweza kutafsiriwa katika tungo hivi: "lakini hakuna hata mmoja anayenilinda mimi kutoka kwa hao wanaotenda mabaya kwangu"

Yeye ameiwekea ukuta .... giza katika njia yangu

"Mungu ameweka ukuta katika njia ambayo kwayo Mimi ninapita juu yake" au "Yeye ameifunga njia hivyo siwezi kuendelea kupita"

Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu

Ayubu anatumia picha hii kusema kwamba Mungu amemfanya yeye kujisikia kukosa msaada na bila tumaini.

Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu

Ayubu anatumia picha hii kusema kwamba Mungu amechukua heshima yake njema, mali, na mafanikio mbali kutoka kwake.

Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu

Ayubu anazungumza juu ya uttukufu wake kana kwamba kulikuwa na mwizi yule Mungu.

ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi

Taji inaashiria utu wa Ayubu au heshima. "yeye ameiondolea mbali taji ya kichwa changu"