sw_tn/job/19/01.md

582 B

Sentensi Unganishi:

Ayubu anazungumza kwa rafiki zake watatu.

Habari za Jumla

Tazama uandishi wa ushairi na mifano ya miti wa mitini

mpaka lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?

Ayubu anatumia swali hili kulalamika kuhusu jinsi rafiki zake wanavyomtemdea yeye. "Acheni kunifanya mimi niteseke na kunikatakata mimi vipande vipande kwa maneno."

kunivunja vunja mimi vipande vipande

Ayubu anatumia picha hii kusema kwamba maneno yao yanamfanya yeye ajisikie mwenye huzuni sana na asiyekuwa na tumaini. "na kunitesa kwa maneno"