sw_tn/job/18/21.md

301 B

Habari za Jumla:

Bildadi anazidi kumzungumzia mtu mwovu.

nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu

Tungo hizi mbili zina maana moja kwa watu walewale. Katika sentensi hii watu hawa wamezungumzwa kwa mahali ambapo wao wanaishi. "watu wasio haki, wale ambao hawamfahamu Mungu"