sw_tn/job/18/14.md

734 B

habari za Jumla:

Bildadi anaendelea kumwelezea mtu mwovu.

Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake

"Majanga yamemtoa yeye kutoka katika hema yake, mahali ambapo yeye alikuwa salama"

hakuweza kutembea

"na hakuweza kutembea" au"ilimlazimu yeye kuondoka"

mfalme mwenye utisho.

Hili ni rejeo kwa "Mfalme Kifo'" mungu mpagani ambaye alikuwa ameaminiwa kutawala juu ya kifo" "mmoja ambaye anatawala juu ya waliokufa" "mfalme wa kifo"

Watu ambao siyo wa kwake

"watu ambao si wa familia yake"

baada ya kuona ule moto umesambaa ndani ya nyumba yake yeye

Watu walitumia kemikali ya salfa kujikinga na magonjwa yoyote kutoka kwa mgonjwa anayekufa. "baada ya kumwaga kemikali ya salfa juu ya nyumba yake yote"