sw_tn/job/18/09.md

1.3 KiB

habari za Jumla:

Bildadi anaendela kuzungumza na anatumia picha ya mifano mitatu kuelezea jinsi gani mtu mwovu ghafla atapitia kwenye majanga.

Tanzi litamchukua yeye...mtego utabaki ...Tanzi ime... kwa ajili yake.... katika njia

Tungo hizi nne zinazungumza juu ya mtu mwovu anayepitia majanga kama vile alikuwa amekamatwa na mtgo. "Itakuwa kama mtego utamchukua yeye...mtego uta....Tanzi ina....na mtego kwa ajili yake katika njia"

Tanzi

Watu walitumia aina hii ya mtego kukamata ndege. Mtego umenasa na kufunga na kushikilia kwenye miguu ya ndege.

litamchukua yeye kwa kisigino;

Katika sentensi hii "kisigino" kinamaanisha mguu wote" utaushikilia mguu wake"

Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi;

"Mtu fulani ameficha mtego katka ardhi ili kumkamata yeye"

mtego

kamba yenye tundu ambalo hushikilia mguu wa wanyama wakati mnyama anapotembea katikati ya tundu.

na mtego kwa ajili yake

"na mtego umefichwa katika njia kumkamata yeye" au" na mtu fulani atauficha mtego kumkamata yeye katka njia"

Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote

"watishao wote wanaomzunguka watamfanya yeye aogope"

watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.

Sentensi hii inazungumzia vitu ambavyo vitamfanya mtu mwovu aogope kama vile kulikuwa na adui zake ambao walimfukuza yeye"