sw_tn/job/18/07.md

1.1 KiB

habari za Jumla:

Bildadi anaendelea kumwelezea mtu mwovu.

Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi;

maneno haya yanamhusu mtu mwovu ghafla anapatwa na janga kama vile yeye hakuwa na nguvu za kutembea. "Itakuwa kama yeye hakuwa na nguvu za kutembea"

mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.

"Ushauri wake mwenyewe unamfanya yeye kuanguka chini." maneno haya yanamzungumzia mtu mwovu akipitia majanga kama vile anavyoanguka chini. "mipango yake yeye mwenyewe itamwongoza yeye katika janga"

Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.

"Miguu yake mwenyewe itamwongoza katika mtego." Bibldadi anatumia picha hii kusema kwamba njia ambayo mtu mwovu anaishi maisha yake inamwongoza yeye katika janga la ghafla. " Itakuwa ingawa amejiongoza mwenyewe katika mtego, kama vile yeye alitembea katika mahangaiko"

mtego

ni nguo au kamba ambayo watu huunganisha pamoja kutengeneza kizuio. Watu walitumia mitego kunasa wanyama.

shimo la mahangaiko.

shimo lina matawi na majani juu yake ili kwamba mnyama atapita juu ya matawi yake na majani na kuanguka ndani ya shimo.