sw_tn/job/16/11.md

1.1 KiB

Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu

Mistari hii miwiwli kimsingi inamaanisha kitu kilekile. Kwa pamoja inasisitiza hisia za Ayubu za kuwa amesalitiwa na Mungu.

amenikabidhi mimi juu ya

Hii ni nahau. "ameniweka mimi chini ya himaya ya "

kunitupa mimi ndani ya mikono ya

Katika sentensi hii "mikono ya mtu" inamaanisha "udhibiti" wake "amenitoa mimi kwenye udhibiti"

na yeye amenivunjavunja mimi vipande.

Ayubu anazungumza juu ya maumivu yake na kukosa matumaini kama vile yeye alikuwa kitu ambacho kimevunjwavunjwa vipande. . "lakini kisha alikuwa yeye amenivunja mimi vipande vipande.

ameniponda mimi vipande vipande;

Ayubu anazungumza juu ya maumivu yake na kukosa matumaini kama vile yeye alikuwa kitu ambacho kimevunjwavunjwa vipande. " ni kama vile amenichukua mimi kwa shingo na kunivunjavunja vipande"

yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.

Ayubu anajisema mwenyewe kuwa shabaha ya shambulizi la Mungu ikiwa kama Mungu amemweka yeye shabaha kumpiga upinde. "ni kama vile ameniweka mimi juu kama shabaha"