forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
1.1 KiB
Markdown
24 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu
|
||
|
|
||
|
Mistari hii miwiwli kimsingi inamaanisha kitu kilekile. Kwa pamoja inasisitiza hisia za Ayubu za kuwa amesalitiwa na Mungu.
|
||
|
|
||
|
# amenikabidhi mimi juu ya
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau. "ameniweka mimi chini ya himaya ya "
|
||
|
|
||
|
# kunitupa mimi ndani ya mikono ya
|
||
|
|
||
|
Katika sentensi hii "mikono ya mtu" inamaanisha "udhibiti" wake "amenitoa mimi kwenye udhibiti"
|
||
|
|
||
|
# na yeye amenivunjavunja mimi vipande.
|
||
|
|
||
|
Ayubu anazungumza juu ya maumivu yake na kukosa matumaini kama vile yeye alikuwa kitu ambacho kimevunjwavunjwa vipande. . "lakini kisha alikuwa yeye amenivunja mimi vipande vipande.
|
||
|
|
||
|
# ameniponda mimi vipande vipande;
|
||
|
|
||
|
Ayubu anazungumza juu ya maumivu yake na kukosa matumaini kama vile yeye alikuwa kitu ambacho kimevunjwavunjwa vipande. " ni kama vile amenichukua mimi kwa shingo na kunivunjavunja vipande"
|
||
|
|
||
|
# yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
|
||
|
|
||
|
Ayubu anajisema mwenyewe kuwa shabaha ya shambulizi la Mungu ikiwa kama Mungu amemweka yeye shabaha kumpiga upinde. "ni kama vile ameniweka mimi juu kama shabaha"
|