sw_tn/job/16/04.md

1.1 KiB

Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja

"Mimi ningefikiri vitu vya kuzungumza"

tikisa kichwa changu

Hiki ni kitendo ambacho kinaonyesha kutokukubalika.

katika dhihaka

Neno "mzaha" laweza kuelezwa kama kitenzi "kukudhihaki wewe"

Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!

Hapa Ayubu anazungumza kwa kumaanisha kinyume cha kile anachokizungumza. "Maneno yangu kwa hakika yangekuwa hayawatii moyo ninyi" Wao hakika hawaing'arishi huzuni yako wewe" au " Kwa uzungumza kwako kama mlivyozungumza kwangu hapa manzo, Mimi nisingewatia moyo ninyi au kuinga'risha huzuni yenu"

na midomo yangu!

katika sentensi hii "mdomo" wa Ayubu unawakilisha kile ambacho yeye anasema. "Kwa kile ambachop mimi ninasema"

faraja kutoka midomo yangu

Sentensi hii ina maanisha maneno yenye kutia moyo ambayo anayazungumza. "maneno yangu ya kutia faraja"

ingenga'risha huzuni yenu!

Hapa huzuni imezungumzwa kama ilikuwa mzigo mzito wa mwili. "ingepunguza huzuni yako " au " ingewasaidia kujisikia asiye na huzuni"