sw_tn/job/16/01.md

608 B

ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.

"Badala ya kunifariji mimi, ninyi nyote mnanifanya kuwa mwenye kuhuzunika"

Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho?

Ayubu anatumia swali hili la kizushi kuonyesha kwamba yeye anapenda kwamba wao wangeacha kuzungumza maneno yasiyo na faida. "Jinsi gani mimi ningependa maneno yenu yasiyo na maana yakome.!

Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?

Ayubu anatumia swali hili la kejeli kumkemea Elifazi. Neno "wewe" linamaanisha Elifazi ambaye amemaliza punde kuzungumza kwa Ayubu. "Elifazi, wewe unapaswa kuacha kunijibu mimi kama hivi"