sw_tn/job/15/12.md

1.2 KiB

Kwa nini moyo wako wewe unakupeleka mbali?

hapa " moyo" unawakilisha hisia za mtu. " kwa nini hisia zako zinakupeleka mbali" au Kwa nini wewe unaruhusu hisia zako kuongoza uamuzi wako?

Kwa nini macho yako yananga'ra

Sentensi hii imaanisha Ayubu kuonekana mwenye hasira Kwa uwazi kabisa muonekano wa mcho yake yeye. " Kwa nini macho yako yanaonekana mwenye hasira" au "Kwa nini wewe unakasirika"

kuirejesha roho yako

hapa neno "roho" linamaanisha utu wote wa mtu. "geuka wewe mwenyewe"

kuyatoa maneno hayo kutoka katika mdomo wako

hapa inamwelezea "yeye akizungumza na hivyo wewe wasema vitu vya kuumiza dhidi yake yeye"

Je, mwanadamu yeye ni nini kwamba yeye anapaswa kuwa safi?

Maswali haya mawili kimsingi ni kitu kimoja na yametumika pamoja kusisitiza kuwa mtu hawezi kuwa mkamilifu"

safi

mtu ambaye Mungu humfikiria kuwa kiroho amekubalika amezungumzwa kama mtu ambaye kimwili alikuwa safi.

mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ni nini kwamba yeye anapaswa awe mwenye haki?

Swali hili la kizushi limeulizwa kusisitiza kwamba mtu hawezi kabisa kuwa "mkamilifu." Bila kutumia swali sentensi hii yaweza kusomeka hivi: "Mtu aliyezaliwa kutoka kwa mwanamke kamwe hawezi kuwa mkamilifu."