forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.1 KiB
Markdown
32 lines
1.1 KiB
Markdown
# habari za Jumla:
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kuzungumza kwa Mungu.
|
|
|
|
# Laiti, kwamba ungenificha mim
|
|
|
|
Huu ni mshangao kuonyesha kile ambacho Ayubu anataka sana lakini yeye hana matumaini ya hakika kutokea. " Mimi ningependa kwamba wewe ungenificha mimi"
|
|
|
|
# ungenitunza mimi katika siri
|
|
|
|
"niache mimi nimefungiwa" au " niache mimi nimefichwa"
|
|
|
|
# na kisha kuniita mimi katika fahamu
|
|
|
|
Kumwita mtu katika ufahamu ni nahau ikimaanisha kufikiri juu yake yeye. " na kisha nifikire mimi" au " na kisha unikumbuke mimi"
|
|
|
|
# Ikiwa mwanadamu akifa, yeye ataishi tena?
|
|
|
|
jibu la hakika ni "hapana." "Kama mtu akifa, yeye hataishi tena"
|
|
|
|
# Ikiwa hivyo
|
|
|
|
"hivyo" inamaanisha ufahamu kutoka katika mistari iliyotanguliza. " Kama yeye angeishi tena"
|
|
|
|
# kusubiri kule muda wangu wote wa kuharibika
|
|
|
|
Maneno "muda wngu wa kuharibika" yanawakilisha muda ambao Ayubu angeharibika." kusubiri muda wangu wote kule ingawa ningeharibika"
|
|
|
|
# mpaka kufunguliwa kwangu kutakapokuja
|
|
|
|
Kitenzi jina "kufunguliwa" chaweza kuelezwa na kitenzi "kufungua." "hadi hapo nitakapofunguliwa" au mpaka pale wewe utakaponiachilia"
|