sw_tn/job/14/13.md

1.1 KiB

habari za Jumla:

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa Mungu.

Laiti, kwamba ungenificha mim

Huu ni mshangao kuonyesha kile ambacho Ayubu anataka sana lakini yeye hana matumaini ya hakika kutokea. " Mimi ningependa kwamba wewe ungenificha mimi"

ungenitunza mimi katika siri

"niache mimi nimefungiwa" au " niache mimi nimefichwa"

na kisha kuniita mimi katika fahamu

Kumwita mtu katika ufahamu ni nahau ikimaanisha kufikiri juu yake yeye. " na kisha nifikire mimi" au " na kisha unikumbuke mimi"

Ikiwa mwanadamu akifa, yeye ataishi tena?

jibu la hakika ni "hapana." "Kama mtu akifa, yeye hataishi tena"

Ikiwa hivyo

"hivyo" inamaanisha ufahamu kutoka katika mistari iliyotanguliza. " Kama yeye angeishi tena"

kusubiri kule muda wangu wote wa kuharibika

Maneno "muda wngu wa kuharibika" yanawakilisha muda ambao Ayubu angeharibika." kusubiri muda wangu wote kule ingawa ningeharibika"

mpaka kufunguliwa kwangu kutakapokuja

Kitenzi jina "kufunguliwa" chaweza kuelezwa na kitenzi "kufungua." "hadi hapo nitakapofunguliwa" au mpaka pale wewe utakaponiachilia"