sw_tn/job/14/10.md

1.0 KiB

na tena yuko wapi yeye? 11Kama maji

Ayubu anatumia swali hili kusisitiza kuwa wakati mtu anapokufa, yeye ametoweka. na hakuna hata mmoja anayefahamu aliko" au " na yeye ametoweka"

ma maji yanavyopotea kutoka ziwani, na kama vile mto upotezavyo maji na kukauka, vivyo hivyo watu hulala chini na hawaamki tena.

Ukweli kwamba kifo hakiwezi kurudishwa kimelinganishwa na maji ambayo hukauka na hayawezi kurudi.

Kama maji yanavyopotea kutoka ziwani, na kama vile mto upotezavyo maji na kukauka,

Tungo hizi mbili zinaeleza wazo moja na zimerudiwa kutoa msisitizo wa ukweli kwamba kifo ni mwicho.

vivyo hivyo watu hulala chini

Kulala chini kunawakilisha kufa." hivyo watu hufa"

na hawaamki tena

Kuinuka tena kunawakilisha kuishi tena. "na kutoishi tena"

hawataamka wala kuamshwa kutoka katika kulala kwao.

Hizi tungo mbili zinamaanisha kitu hiho hicho na zimetumiwa pamoja kusisitiza kuwa kifo ni mwisho. Kulala kunawakilisha kufa na kuamka kunaakilisha kuishi tena. " watu ambao wamekufa hawataishi tena na kufufunuliwa kutoka katika kifo.