sw_tn/job/14/04.md

973 B

Habari za Jumla:

Habari za Jumla: Ayubu anaendelea kuzungumza kwa Mungu.

Ni nani anayeweza kukileta kitu safi kutoka katika kitu kichafu? Hakuna awaye yote.

Ayubu anatumia swali hili kumshawishi Mungu kufanyia kazi kile ambacho yeye anakifahamu kuhusu vitu visivyo safi kwa Ayubu."Hakuna hata mmoja ambaye anaweza kukileta kitu kilicho safi kutoka kwenye kitu kichafu"

Siku za mwanadamu zimeamriwa

"Wewe unaziamuru siku za mwanadamu" au "Wewe unaamua siku za kuishi mwanadamu"

Idadi ya miezi yake unayo wewe;

Idadi ya miezi ya mwanadamu kuwa na Mungu inawakilisha Mungu kuamua idadi ya miezi ambayo mtu ataishi," Wewe waamua ni miezi mingapi yeye ataishi"

umekiweka kikomo chake ambacho hawezi kukivuka

Kuweka kikomo inawakilisha kuishi muda uliopita ambao Mungu ameuweka kwa mtu kufa. "Wewe umeuweka wakati ambao yeye atakufa", na yeye hawezi kuishi zidi ya hapo.

mtu aliyekodishwa

mtu aliyekodishwa kufanya kazi na huenda nyumbani baadaye.