sw_tn/job/13/23.md

818 B

Habari za Jumla"

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa Mungu.

Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?

Ayubu anauliza swali hili kulalamika kuhusu jinsi Mungu anavyomtendea yeye. Yeye huenda anategemea jibu.

unaficha uso wako kutoka kwangu mimi

Mtu kuficha uso wake inawakilisha kukataa kumtazama yeye au kumpuuza yeye. Wewe unakaa kunitazama mimi" au " wewe unanipuuza mimi"

Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa

Ayubu anatumia swali hili kumwambia Mungu kuwa Ayubu si wa muhimu na ni dhaifu, ni hasara kumtesa yeye"

jani linalopeperushwa....bua kavu

"Jani" na "bua" ni tashbiha ikielezea udhaifu wa Ayubu, kutokuwa wa muhimu, na kutokuwa mwenye nguvu. "Wewe unanitesa mimi, lakini niko dhaifu kama jani lililopeperushwa na upepo na si wa maana kama bua kavu"