sw_tn/job/13/18.md

952 B

Habari za Jumla:

Ayubu anaendelea kuzungumza na Mungu

Tazama sasa

Huu ni msisitizo wa kile kinachofuata." Sikiliza sasa" au "tafadhali, kipekee, sikiliza."

Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio,

Ameupangilia utetezi wake ni kuamua kile ambacho angesema kujitetea yeye mwenyewe. " Mimi nimefikiria jinsi nitakavyojitetea mwenyewe" au "Mimi nimeamua jinsi nitakavyojieleza mimi mwenyewe"

Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama?

Ayubu anatumia swali hili kueleza imani yake kwamba kwa kuwa yeye yuko sahihi, hakuna awaye yote angeshindana na yeye. "Mimi siamini kuwa mtu yeyote atahojiana na mimi katika mahakama."

Ikiwa mlikuja kufanya hivyo,

"kama mlikuja kushindana dhidi yangu mimi"

ikiwa ninyi

"Ninyi" hapa ina maanisha Mungu mwenyewe.

kama mimi nilithibitishwa kukosea,

"Kama niniyi mngethibitisha mimi kuwa nimekosea"

kuyatoa maisha yangu.

"Kuyatoa maisha ya mtu ni tashbiha inayomaanisha kufa"