sw_tn/job/12/09.md

656 B

Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya

Swali hili linasisitiza mantiki ya kwamba wayama wote wanatambua kuwa Yahwe amefanya haya. Ina maanisha , "Kila mnyama anafahamu....haya."

mkono wa Yahwe umetenda haya?

Mkono wa Yahwe unawakilisha nguvu zake. "Yahwe ametenda haya kwa nguvu zake"

Katika mkono wake mna uzima...na pumzi ya wanadamu wote.

Mkono wa Yahwe unawakilisha udhibiti wake au nguvu. Vitu kuwa katika mikono yake inawakilisha uweza wake kuvidhibiti. "ambaye anadhibiti uhai wa kila kiumbe hai na ataoa uhai kwa kila mwanadamu"

pumzi ya wanadamu

"Pumzi" inawakilisha uzima au uwezo wa kuishi