sw_tn/job/09/34.md

577 B

Habari unganishi:

Mistari hii inaendeleza hoja ya kwanza kwamba hakuna hata mmoja aliye mkuu kuliko Mungu ambaye anaweza kutenda kama hakimu kati ya Mungu na Ayubu.

niondolee fimbo ya Mungu

Hapa "fimbo ya Mungu" ni mfano wa Mungu anamwadhibu au anamrekebisha Ayubu. "acha Mungu kuniadhibu mimi"

awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu

Jina la kufikirika "kitisho" inaweza kutafasiriwa kama kitenzi "tisha." "mzuie kunitisha na kuniogofya mimi"

kisha ningesema

"kisha ningeliweza kusema"

kama mambo yalivyo sasa

"kwasababu hivi ndivyo mambo yalivyo sasa"