forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
577 B
Markdown
20 lines
577 B
Markdown
|
# Habari unganishi:
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inaendeleza hoja ya kwanza kwamba hakuna hata mmoja aliye mkuu kuliko Mungu ambaye anaweza kutenda kama hakimu kati ya Mungu na Ayubu.
|
||
|
|
||
|
# niondolee fimbo ya Mungu
|
||
|
|
||
|
Hapa "fimbo ya Mungu" ni mfano wa Mungu anamwadhibu au anamrekebisha Ayubu. "acha Mungu kuniadhibu mimi"
|
||
|
|
||
|
# awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu
|
||
|
|
||
|
Jina la kufikirika "kitisho" inaweza kutafasiriwa kama kitenzi "tisha." "mzuie kunitisha na kuniogofya mimi"
|
||
|
|
||
|
# kisha ningesema
|
||
|
|
||
|
"kisha ningeliweza kusema"
|
||
|
|
||
|
# kama mambo yalivyo sasa
|
||
|
|
||
|
"kwasababu hivi ndivyo mambo yalivyo sasa"
|