sw_tn/job/09/30.md

511 B

Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluj

"Kama nimeoga tu, maji safi"

kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi

"kuifanya mikono yangu safi sana." Baadhi ya tafsiri zingine za Biblia zinafasiri hiki na maana ya "nimeosha mikono yangu na sabuni kali sana."

nitumbukize shimoni

"nitupe shimoni"

nguo zangu mwenyewe zitanichukia

Nguo za Ayubu zinazungumziwa kana kwamba zina jibu hasi kwa Ayubu baada ya Mungu kumtumbukiza yeye shimoni. "Mimi nitakuwa mchafu sana kwa ajili ya nguo zangu mwenyewe"