sw_tn/job/09/10.md

812 B

Habari za Jumla:

Mwandishi anatumia ulinganishaji katika kila mistari hii, kuwasilisha wazo moja akitumia taarifa mbili kusisitiza kwamba Mungu ni mkuu, asiyeonekana, na mwenye mamlaka.

mambo yasiyofahamika

"mambo yasiyochunguzika" au "mambo yasiyoeleweka"

yasiyohesabika

"ambayo hayahesabiki"

Tazama

"Tazama" au "kuwa makini"

hupita kwenda mbele

"yeye hupita" au "yeye huendelea mbele"

Kama akichukua kitu chochote, nani tamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'

Haya ni maswali ya kejeri ambayo hutarajia jibu la "Hata mmoja." Yanaweza kupangiliwa kama maelezo. "Kama akichukuwa kitu chochote mbali, hakuna wakumzuia. Hakuna wa kumuuliza, 'unafanya nini?""

Kama akichukua kitu chochote

"Kama yeye akichukua mbali kitu fulani" au "Kama akihitaji kunyakua mbali kitu chochote"