forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
784 B
Markdown
28 lines
784 B
Markdown
# ambaye huzihifadhi nyota
|
|
|
|
"ambaye huzuia nyota zisionekane"
|
|
|
|
# ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu
|
|
|
|
Mungu anaongelewa kama aliyeumba mbingu bila msaada wowote, kana kwamba mbingu ilikuwa mfumo kwamba yeye aliueneza.
|
|
|
|
# kuyatuliza mawimbi ya bahari
|
|
|
|
Mungu anazungumziwa kama mtuliza bahari kana kwamba kwa miguu yake. "hukanyaga miguu yake juu ya mawimbi ya bahari" au " hutuliza mawimbi ya bahari"
|
|
|
|
# Dubu, Orioni, kilima
|
|
|
|
Haya yanahusu kundi la nyota, ambalo ni kundi la nyota ambalo huonekana kama zimetengeza umbo fulani angani.
|
|
|
|
# Orioni
|
|
|
|
ni maarufu kwa uwindaji katika elimu ya visasili ya kigiriki
|
|
|
|
# Kilima
|
|
|
|
nyota nyingi zenye kung'aa ambazo huonekana kama zipo karibu karibu angani.
|
|
|
|
# kundinyota
|
|
|
|
kundi la nyota ambalo huonekana kama limetengeneza umbo fulani angani
|