sw_tn/job/09/01.md

517 B

"kweli najua kwamba ndivyo hivyo.

"najua kwamba kile unachosema ni kweli"

ndivyo hivyo

Hapa neno "hii" linahusu kile alichosema Bildadi.

kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?

"kwa namna gani mtu yeyote atakuwa hana kosa mbele za Mungu?"

hoji

"shindana"

hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi

"Mara moja katika elfu zaidi" ni usemi unaomaanisha "hata kidogo." Maana zinazofaa ni 1) "hawezi kutoa jibu lolote kwa Mungu" au 2) "Mungu atamjibu yeye hata kidogo"

elfu zaidi

"mara 1,000"