sw_tn/job/08/21.md

653 B

Yeye atakijaza kinywa chako na kicheko, midomo yako na shangwe

Bildadi anaendelea kusema na Ayubu. Neno "yeye" linahusu Mungu, na "-ako, -enu" linahusu Ayubu. Mwandishi anawasilisha wazo moja akitumia taarifa mbili tofauti kuwasilisha furaha ambayo Ayubu atapitia. "Mungu atakupa furaha tena."

midomo yako na shangwe

Maana kamili ya kifungu hiki inaweza kuwafahamika kutokana na mwanzo wa sentensi. "Mungu atakijaza kinywa chako na na kelele za furaha."

Wale ambao wanakuchukia wewe watavishwa aibu; nayo hema yake mwovu haitakuwepo tena

"Waovu watajawa na aibu; wabaya watakoma kuishi."

haitakuwepo tena

"hautadumu" au "utafika mwisho"