sw_tn/job/07/19.md

634 B

Je itachukuwa muda gani kabla hujaacha kuniangalia, wala kunisumbua muda wa kutosha kwaajili ya kumeza mate yangu?

Hapa Ayubu anawasilisha wazo moja akitumia maswali mawili ya kejeri kusisitiza matamanio yake kwamba Mungu angeliacha kumwangalia yeye. "Usinitazame! Niache peke yangu kiasi cha kumeza mate yangu mwenyewe!"

Hata kama nimefanya dhambi, itakusaidia nini, wewe ulindaye wanadamu?

Ayubu analeta swali hili kumkaripia Mungu. "Hata kama nimefanya dhambi, kwamba haitakusaidia kitu wewe, ambaye uwalinda watu."

Kwa nini umenifanya shabaha yako, ... kwako?

"Kwanini umenifanya mimi shabaha kwa ajili yako mwenyewe?"