sw_tn/job/06/26.md

789 B

Je mnapanga kuyapuuza maneno yangu, mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo?

Ayubu anatumia swali hili kuwakemea rafiki zake. "Mmeyapuuza maneno yangu, na kuyachukulia maneno yangu kama si kitu."

Je mna

"wewe, ninyi" ipo katika sehemu ya nafsi ya pili wingi.

mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo

Ayubu analinganisha maneno ya kukata tamaa ya mtu asiye na tumaini kwaajili ya msaada na upepo usio na kitu; yote hayana manufaa.

mna piga kura kwa ajili ya yatima

"hata mna cheza kamari kumpata yatima"

mna piga kura ... kupatana bei juu ya rafiki yenu

Hapa "wewe, ninyi" na "-ako, -enu" yapo katika sehemu ya nafsi ya pili wingi.

na kupatana bei juu ya rafiki yenu kama bidhaa.

"na kuchimba shimo kwaajili ya rafiki yenu"