forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
482 B
Markdown
12 lines
482 B
Markdown
# laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani!
|
|
|
|
Hapa mwandishi anatumia maelezo mawili tofauti kuwasilisha wazo moja, mzigo wa mateso ya Ayubu.
|
|
|
|
# kwenye mizani
|
|
|
|
"kwenye kipimo"
|
|
|
|
# Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini
|
|
|
|
Ayubu analinganisha mzigo wa mateso yake na uzito wa mchanga wenye majimaji; vyote vinaweza kumwangamiza mtu. "Mzingo wa maumivu yangu makubwa na taabu ni mazito kuliko mchanga wa ufukweni."
|