sw_tn/job/05/04.md

1.0 KiB

Habari za Jumla:

Mistari hii inaendeleza matumizi ya awali ya ulinganishaji, hapa inatilia mkazo katika njia tofauti wazo kwamba watoto wa watu wajinga hawapo salama.

Watoto wake wako mbali na uzima

"yake" inahusiana na mtu mjinga au watu wajinga katika 5:1. "Watoto wao si salama milele"

wameangamia

Hapa kuangamizwa ni mfano wa kuonewa, kutumiwa vibaya, katika mahakama. Wazo hili linaweza kuwekwa katika umbo hai. "mtu fulani amewaangamiza"

lango la mji.

Lango la mji, linafanya kazi kama mahakama, ilikuwa sehemu ambayo ugomvi uliamuliwa na hukumu kutolewa.

Hakuna yeyote atakaye waponya.

"Hakuna yeyote wakuwaokoa watoto wa watu wapuuzi kutoka kwenye dhiki zao"

hata huyachukua katikati ya miiba

Inawezekana huu ni mfano wa kipande cha shamba ambapo mazao mabaya sana humea, kwasababu ya uwepo wa mimea yenye miba.

Wenye kiu huzitaka sana mali zao

Hapa watu waroho wanaongelewa kana kwamba wanakiu, na utajiri wa mtu mpumbavu unazungumziwa kana kwamba ni kitu fulani ambacho wanaweza kunywa.