sw_tn/job/03/11.md

1.0 KiB

Habari za Jumla:

Kifungu hiki kina maswali manne ya kejeli, ambayo Ayubu anauliza ili kufanya mfululizo wa kweli wa maelezo.

Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi?

"kwa nini sikufa wakati wa kuzaliwa?" Ayubu anauliza swali hili ili kulaani siku ya kuzaliwa kwake na kueleza majuto yake. "Natamani ningelikufa siku nilipozaliwa"

Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?

Ayubu anamaanisha kusema kwamba yeye asingelizaliwa hai. "Natamani ningelikufa wakati nilipotoka nje ya tumbo la uzazi."

kuitoa roho yangu

Hii inahusiana na kifo.

kwanini magoti yake yalinipokea?

Labda hii inahusiana na paja la mama yake Ayubu. Magoti ya mama yake yamezungumziwa kana kwamba ni watu ambao wanaweza kumkaribisha mtoto mchanga. "Natamani kusingelikuwa na paja la kunipokea mimi."

Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?

Maziwa ya mama yake Ayubu yanazungumziwa kana kwamba ni watu ambao wanaweza kumkaribisha mtoto mchanga. "Natamani kusingelikuwa na maziwa kwaajili ya kuninyoshesha."