sw_tn/job/02/12.md

552 B

Walipoinua macho yao

"walikaza macho" au "walitazama kwa makini"

hawakuweza kumtambua

Hii yawezekana inamaanisha kwamba wageni wa Ayubu hawakuweza kumtambua kwanza, wakati walipo muona kwa mbali. Ayubu alionekana tofauti kuliko kawaida kwa sababu ya huzuni yake na kwa sababu ya kuwashwa mwili mzima. "kwa shida walimtambua"

Wakapaza sauti zao na kulia

"wakalia kwa sauti kubwa " au "wakalia sana"

akararua joho lake

Hii ilikuwa ishara ya maombolezo.

kurusha majivu hewani na juu ya kichwa chake

Hizi zilikuwa ishara za maombolezo.