sw_tn/job/02/03.md

980 B

Habari za Jumla:

Mistari hii ipo sawa na 1: 6, isipokuwa kwa ongezeko la "Yeye anashikamana na utimilifu wake, japokuwa ulinichochea dhidi yake, nimwangamize pasipo sababu."

Je umemwangalia mtumishi wangu Ayubu?

Hili swali la kejeli kwa kweli inatengeneza maelezo. Tafasiri kama katika 1: 6. "Angalia mtumishi wangu Ayubu."

mtu mwenye haki na mkamilifu

Neno "haki" na "mkamilifu" yana maana sawa na yanaeleza kwamba Ayubu alikuwa muadilifu. "Alitenda yaliyo mema mbele za Mungu."

mmoja aliye mcha Mungu na kuepukana na uovu.

Hapa uovu unazungumziwa kama vile eneo ambalo mtu ataepuka kwenda huko, badala ya kufanya matendo maovu. "alikataa kufanya uovu" (Tafasiri kama katika 1: 1)

Hata sasa anashikamana na utimilifu wake

"amesalia amejitoa kikamilifu kufanya yale yaliyo ya haki na kweli"

ulinichochea juu yake

"ulinishawishi bila sababu nimshambulie"

nimwangamize

Hapa "angamiza" linawakilisha "kumfanya awe maskini." "kumfanya yeye awe mtu maskini"