sw_tn/job/01/20.md

457 B

akalirarua joho lake, akanyoa kichwa chake

Haya yalikuwa matendo ya taratibu za ibada ya maombolezo, kuashiria huzuni kumbwa.

Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu ni uchi, nami nitakuwa uchi wakati nitakaporudi huko

"Wakati wa kuzaliwa kwangu, si kuleta kitu duniani, na wakati wa kifo changu nitarudi udongoni bila kitu."

Katika mambo hayo yote

"Kuhusu haya yote yaliyotokea"

hakumwazia Mungu kwa uovu.

"kusema kwamba Mungu alifanya makosa"