sw_tn/job/01/01.md

909 B

nchi ya Usi

Inawezekana maeneo haya ni 1) eneo katika Edomu mashariki ya mto Yordani mahali fulani magharibi ya Yordani ya sasa au 2) eneo mashariki ya mto Frati katika Irani ya sasa.

haki na mkamilifu

Neno "haki" na "mkamilifu" yana maana sawa na yanaeleza kwamba Ayubu alikuwa muadilifu. "Alitenda yaliyo mema mbele za Mungu."

mmoja aliyemcha Mungu

"mmoja aliyemheshimu Mungu"

kuepukana na uovu

Hapa uovu unazungumziwa kama vile eneo ambalo mtu ataepuka kwenda huko, badala ya kufanya matendo maovu. "alikataa kufanya uovu"

watoto saba wakiume na mabinti watatu

"wakiume 7 na mabinti 3"

Alimiliki kondoo elfu saba

"Alikuwa na kondoo 7,000"

ngamia elfu tatu

"ngamia 3,000"

jozi mia tano za maksai

"jozi 500 za maksai"

mkuu

"tajiri"

watu wote wa Mashariki

Inahusu maeneo yaliyokuwa mashariki ya Kanaani. "watu wote wanaoishi katika nchi zilizokuwa mashariki ya Kanaani"