forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
448 B
Markdown
16 lines
448 B
Markdown
# je, unanaipenda...wanipenda mimi
|
|
|
|
Hapa "upendo" linamanisha aina ya upendo unaotoka kwa Mungu, amabao unaangalia mema ya wengine, hata pale ambapo hakuna maslahi binafsi
|
|
|
|
# wewe wajua kuwa mimi na kupenda wewe
|
|
|
|
Petro anajibu, anatumia neno kwa "upendo" ambalo linonyesha upendo kwa ndugu au upendo wa urafiki au upendo wa kifamila.
|
|
|
|
# Lisha wanakondoo wangu
|
|
|
|
"Lisha watu wangu ninaowajali"
|
|
|
|
# Chunga kondoo wangu
|
|
|
|
"Wajali watu wangu ninaowajali"
|