sw_tn/jhn/21/15.md

448 B

je, unanaipenda...wanipenda mimi

Hapa "upendo" linamanisha aina ya upendo unaotoka kwa Mungu, amabao unaangalia mema ya wengine, hata pale ambapo hakuna maslahi binafsi

wewe wajua kuwa mimi na kupenda wewe

Petro anajibu, anatumia neno kwa "upendo" ambalo linonyesha upendo kwa ndugu au upendo wa urafiki au upendo wa kifamila.

Lisha wanakondoo wangu

"Lisha watu wangu ninaowajali"

Chunga kondoo wangu

"Wajali watu wangu ninaowajali"