forked from WA-Catalog/sw_tn
448 B
448 B
je, unanaipenda...wanipenda mimi
Hapa "upendo" linamanisha aina ya upendo unaotoka kwa Mungu, amabao unaangalia mema ya wengine, hata pale ambapo hakuna maslahi binafsi
wewe wajua kuwa mimi na kupenda wewe
Petro anajibu, anatumia neno kwa "upendo" ambalo linonyesha upendo kwa ndugu au upendo wa urafiki au upendo wa kifamila.
Lisha wanakondoo wangu
"Lisha watu wangu ninaowajali"
Chunga kondoo wangu
"Wajali watu wangu ninaowajali"