sw_tn/jhn/20/21.md

347 B

amani iwe nanyi

hii nisalamu ya kawaida

Kama vile Baba alivyonituma mimi, vivyo hivyo nami nawatuma ninyi...akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu"

Mungu Baba alimtuma Mungu Mwana anayewatuma waumini katika nguvu ya ya Mungu Roho.

Baba

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu

watasamehewa

"Mungu atawasamehe"

Watafungiwa

"Mungu hatawasamehe"